• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mjini Bariadi Machi 15, 2017

  • Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda(wa pili kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka(wa pili kulia) wakionesha Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu kwa wadau wa Maendeleo wa Mkoa huo mara baada ya uzinduzi uliofanyika Machi, 15, Mjini Bariadi.

    Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka wakiwa wameshika nakala za Mwongozo wa Uwekezaji ikiwa ni maandalizi ya kufanya uzinduzi wa mwongozo huo Mjini Bariadi.

    Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka(katikati) akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa kiuchumi na Kijamii(ESRF),Dkt.Tausi Kida (kulia) na Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda (kushoto) wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu Machi, 15, Mjini Bariadi.

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Dkt. Fredrick Sagamiko akichangia jambo katika mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu Uliofanyika Mjini Bariadi.

    Kaimu Afisa TEHAMA wa Sekretarieti ya Mkoa, Bw.Edgar Mdemu(kushoto) akimuonesha Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda(wa pili kushoto) na viongozi wengine Tovuti ya Mkoa wa Simiyu, inayotambulika kwa anuani ya www.simiyu.go.tz kabla ya kuizindua leo Mjini Bariadi.

    Baadhi ya Viongozi wa Mkoa wa Simiyu wakimsikiliza Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda( hayupo pichani) katika mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu Uliofanyika Mjini Bariadi.

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa kiuchumi na Kijamii(ESRF),Dkt.Tausi Kida akizungumza na Viongozi, watendaji na wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Simiyu (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani humo.

    Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda akizungumza na Viongozi, watendaji na wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Simiyu (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani humo.

    Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi, Mhe. Mashimba Ndaki akichangia jambo katika mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu Uliofanyika Mjini Bariadi.

    Kutoka kushoto, Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa kiuchumi na Kijamii(ESRF),Dkt.Tausi Kida, Katibu Tawala Mkoa, Ndg.Jumanne Sagini, Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa(UNDP) Hawa Dabo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Braiadi, Mhe.Robert Lweyo na Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe.Tano Mwera wakiwa katika uzinduzi wa Mwongozo wa uwekezaji Mkoani Simiyu

    Mbunge wa Jimbo la Itilima ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Mkoani Simiyu, Mhe.Njalu Silanga akichangia jambo katika mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu Uliofanyika Mjini Bariadi.

    Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda ( wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Mkoa wa Simiyu na wadau wa maendeo wa mkoa huo mara baada ya uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa huo Mjini Bariadi.

    Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa(UNDP) Hawa Dabo akizungumza na Viongozi, watendaji na wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Simiyu ( baadhi hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani humo.

    Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda ( wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Mkoa wa Simiyu na wadau wa maendeo wa mkoa huo mara baada ya uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa huo Mjini Bariadi.

    Baadhi ya wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Simiyu wakimsikiliza Katibu mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda( hayupo pichani) katika mkutano wa Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Simiyu Uliofanyika Mjini Bariadi.

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2020 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 07, 2019
  • Matokeo ya Kidato cha NNe mwaka 2018 January 24, 2019
  • Fungua

Habari Mpya

  • Katika Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani TUGHE- Simiyu, Yatoa Msaada Kituo Cha Afya Ikindilo

    March 08, 2022
  • Wanawake, Endeleeni Kufanya Kazi kwa Bidii na Kuonyesha Mfano, Mafanikio Yenu Yasiwapelekee Kujisahau Kwamba Baba ni Kichwa Cha Familia- RC Kafulila

    March 08, 2022
  • Mhe.Kafulila Azindua Bodi Ya Parole Mkoani Simiyu

    March 04, 2022
  • Mkuu wa Majeshoi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo Afanya Ziara Mkoa wa Simiyu

    March 01, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa