• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Uzinduzi wa Kiwanda cha Maziwa Wilayani Meatu Oktoba 12, 2016

  • Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akijiandaa kukata utepe kwa ajili ya kufungua Kiwanda cha Maziwa Wilayani Meatu

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa Kiwanda cha Maziwa Wilayani Meatu, Oktoba 12, 2016

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akifungua Kiwanda cha Maziwa Wilayani Meatu kinachoendeshwa kwa ubia kati ya Halmashauri ya Wilaya ya Meatu na Viikundi vya vijana, Oktoba 12, 2016.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akishangilia baada ya kufungua kiwanda cha kusindika maziwa Wilayani Meatu, Oktoba 12, 2016.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama (wa pili kushoto) akipata maelezo ya usindikaji wa maziwa mara baada ya kufungua kiwanda hicho Oktoba 12,2016.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama (wa pili kushoto) akielezwa juu ya vitu mbalimbali vinavyotumiwa katika usindikaji wa maziwa mara baada ya kufungua kiwanda cha kusindika maziwa Wilayani Meatu Oktoba 12,2016.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akioneshwa vifungashio vinavyotumika kusindika maziwa mara baada ya kufungua kiwanda cha kusindika maziwa Wilayani Meatu Oktoba 12,2016.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akiangalia moja ya chupa yenye maziwa mara baada ya kufungua kiwanda cha kusindika maziwa Wilayani Meatu Oktoba 12,2016.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira , Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama akizungumza na baadhi ya vijana wanaosindika maziwa(hawapo pichani) mara baada ya kukagua na kufungua kiwanda hicho Wilayani Meatu Oktoba 12,2016.

    Viongozi wa Kitaifa na Kimkoa wakisikiliza taarifa ya mradi wa kiwanda cha kusindika maziwa kutoka kwa mwakilishi wa Vijana wanaendesha kiwanda cha kusindika maziwa (MEATU MILK) mara baada ya kiwanda hico kuzinduliwa Oktoba 12, 2016.

    Baadhi ya Watumishi na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri wa Mkuu Sera, Bunge, Kazi,Ajia, Vijana na Watu Wenye ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) baada ya uzinduzi wa kiwanda cha Kusindika maziwa (MEATU MILK) Oktoba 12,2016

    Baadhi ya Vijana wanaojishughulisha na usindikaji wa Maziwa (MEATU MILK)

    Kiongozi wa Kikundi cha Vijana wa Meatu akiwasilisha risala kwa niaba ya wenzake kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kiwana cha kusindika maziwa wialayaniMeatu kuzinduliwa Oktoba 12, 2016

    Baadhi ya viongozi wa Wilaya Meatu, mkoa wa Simiyu na viongozi wa kitaifa wakicheza muziki na Vijana wa Meatu ishara ya kufurahia uzinduzi wa Kiwanda cha Maziwa wilayani Meatu.

    Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde akizungumza na Vijana na wananchi wa Meatu baada ya Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Waziri wa Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe. Maudline Castico mara baada ya kuzindua kiwanda cha maziwa Meatu akizungumza na Vijana na wananchi wa Meatu baada ya Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka akizungumza na Vijana na wananchi wa Meatu baada ya Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akimkabidhi zawadi ya maziwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka mara baada ya kuzindua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akimkabidhi zawadi ya maziwa Waziri wa Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe. Maudline Castico mara baada ya kuzindua kiwanda cha maziwa Meatu

    Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mbunge wa Jimbo la Meatu, Mhe. Salum Mbuzi akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mbunge wa JViti Maalum (CCM), Mhe.Leah Komanya akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mkurugenzi wa Idara ya VIJANA katika Ofisi ya Waziri Mkuu,James Kajugusi akipokea zawadi kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Dkt.Titus Kamani akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mhe.Rachel Kasanda akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mhe. Pius Machungwa akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Fabian Manoza akipokea zawadi ya maziwa kutoka kwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya kufungua kiwanda cha maziwa Meatu.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na vijana na wananchi wa Meatu mara baada ya kuzindua kiwanda cha kusindika maziwa wilayani humo.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (waliokaa) wa nne) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, na Vijana wa Meatu Milk

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2020 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 07, 2019
  • Matokeo ya Kidato cha NNe mwaka 2018 January 24, 2019
  • Fungua

Habari Mpya

  • Katika Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani TUGHE- Simiyu, Yatoa Msaada Kituo Cha Afya Ikindilo

    March 08, 2022
  • Wanawake, Endeleeni Kufanya Kazi kwa Bidii na Kuonyesha Mfano, Mafanikio Yenu Yasiwapelekee Kujisahau Kwamba Baba ni Kichwa Cha Familia- RC Kafulila

    March 08, 2022
  • Mhe.Kafulila Azindua Bodi Ya Parole Mkoani Simiyu

    March 04, 2022
  • Mkuu wa Majeshoi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo Afanya Ziara Mkoa wa Simiyu

    March 01, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa