• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru, Oktoba 14, 2016

  • Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka(kushoto) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu , Mhe.Jenista Mhagama wakati wa Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Oktoba 14, 2016.

    Askofu wa Jimbo Kuu la Shinyanga, Liberatus akiongoza Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Mapadri wa Jimbo kuu la Shinyanga wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi Oktoba 14, 2016.

    Baadhi ya viongozi wa Kimkoa na Kitaifa wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu

    Baadhi ya viongozi wa Kimkoa na Kitaifa wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi, Oktoba 14, 2016.

    Waimbaji wa Kwaya wa Kanisa la Mtakatifu Yohana wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa hilo Mjini Bariadi, Oktoba 14, 2016.

    Baadhi ya waumini wa Kanisa la Mtakatifu Yohana wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa hilo Mjini Bariadi, Oktoba 14, 2016.

    Askofu wa Jimbo Kuu la Shinyanga, Liberatus Sangu na Mapadri wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Askofu wa Jimbo Kuu la Shinyanga, Liberatus Sangu na Mapadri wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Baadhi ya waumini wa Kanisa la Mtakatifu Yohana wakiwa katika Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa hilo Mjini Bariadi, Oktoba 14, 2016.

    Askofu wa Jimbo Kuu la Shinyanga, Liberatus akiongoza Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Kwaya kutoka Kanisa la Katoliki Mjini Bariadi wakiimba wimbo maalum wa Hayati Baba wa Taifa wakati wa ibada ya kumbukumbu ya kifo chake kilichotokea miaka 17 iliyopita.

    Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka akiwatambulisha viongozi wa Serikali (hawapo pichani)walioshiriki katika Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Baadhi ya Viongozi wa Kimkoa na Kitaifa walioshiriki Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Waziri wa Kazi,Uwezeshaji, Vijana, Wazee,Wanawake na Watoto wa Zanzibar , Mhe. Moudline Castico akizungumza na viongozi na wananchi walioshiriki Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, mwl. Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye ulemavu , Mhe. Jenista Mhagama akitoa salamu za Serikali walioshiriki katika Ibada Maalum ya Kumuombea Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi.

    Vijana watumikiaji wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi wakiongoza viongozi walioshiriki ibada maalum ya Kumbukumbu ya Mwl. Julius K. Nyerere

    Kwaya kutoka Kanisa la Kotoliki Mjini Bariadi wakiimba mara baada ya kuhitimisha Ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl.Julius K. Nyerere iliyofanyika katika Kanisa hilo Oktoba 14,2016

    Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu(mwenye kofia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa dini walishiriki Ibada ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Oktoba 14, 2016 Mjini Bariadi.

    Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu(mwenye kofia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Kimkoa walioshiriki Ibada ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Oktoba 14, 2016 Mjini Bariadi katika Kanisa la Mtakatifu Yohana.

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akisaini ktabu cha wageni mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa maonesho ya shughuli za vijana, wakati wa Kilelecha Mbio za Mwenge wa Uhuru, wiki ya vijana na Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl.J. K. Nyerere Oktoba 14 2016 Mjini Bariadi.

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein (kulia) akipokea maelezo ya awali juu maonesho ya shughuli za vijana kutoka kwa Waziri wa Nchi, ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi,Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe.Jenista Mhagama

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2020 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 07, 2019
  • Matokeo ya Kidato cha NNe mwaka 2018 January 24, 2019
  • Fungua

Habari Mpya

  • Katika Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani TUGHE- Simiyu, Yatoa Msaada Kituo Cha Afya Ikindilo

    March 08, 2022
  • Wanawake, Endeleeni Kufanya Kazi kwa Bidii na Kuonyesha Mfano, Mafanikio Yenu Yasiwapelekee Kujisahau Kwamba Baba ni Kichwa Cha Familia- RC Kafulila

    March 08, 2022
  • Mhe.Kafulila Azindua Bodi Ya Parole Mkoani Simiyu

    March 04, 2022
  • Mkuu wa Majeshoi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo Afanya Ziara Mkoa wa Simiyu

    March 01, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa