Posted on: August 5th, 2017
Wananchi Mkoani Simiyu wamehimizwa kwenda kushuhudia mashindano ya Baiskeli na Ngoma za Asili yatakayofanyika kesho Jumapili katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.
Akizungumza na Waandishi...
Posted on: August 5th, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka Wakuu wa Shule mkoani humo kuongeza ubunifu ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika shule zao.
Mtaka ameyasema hayo wakati alipokuwa akifunga ma...
Posted on: July 31st, 2017
Mkoa wa Simiyu umejipanga kurasimisha kazi za sanaa, utamaduni na baadhi ya michezo ili kutengeneza ajira kwa wananchi ambazo zitasaidia kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla.
Hayo ya...