Posted on: August 2nd, 2018
Naibu waziri wa Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa amewapongeza viongozi wa Mkoa wa Simiyu kwa kujenga Jengo la Kudumu (Simiyu Exhibition Hall), katika Uwanja wa Maonesho wa Nanenane wa Kanda ya Ziwa Mashari...
Posted on: August 2nd, 2018
Naibu Waziri wa Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa ametoa wito kwa wananchi hapa nchini kupanda miti kwa wingi ili kuboresha mazingira, kutunza uoto wa asili, kuwa na uhakika wa mvua na kuepukana na ukame.
...
Posted on: August 1st, 2018
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa ametoa wito kwa wakulima kote nchini kulima kilimo chenye tija kwa kutumia zana bora za kilimo ili kuongeza uzalishaji na kupata mavuno mengi na bora.
...