• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

RC Mtaka Akabidhi Mwenge wa Uhuru Mkoani Shinyanga

Posted on: August 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Taleck  na kumhakikishia Kiongozi wa Mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2018 Ndg. Charles Kabeho kuwa atachukua hatua dhidi ya mapungufu yaliyobainika wakati Mwenge wa Uhuru ukipitia baadhi ya miradi ya maendeleo mkoani Simiyu.

Mtaka amesema ushauri na mapendekezo yaliyotolewa na Kiongozi wa Mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2018 Ndg. Charles Kabeho yatafanyiwa kazi,ikiwa kuna mahali pa kuchukua hatua,  hatua stahiki zitachukuliwa na ikiwa kuna mahali pa kufanya maboresho ili miradi hiyo itekelezwe katika viwango vinavyokidhi haja ya kutoa huduma kwa wananchi, Serikali ya mkoa itahakikisha inasimamia.

“Ndugu Kiongozi wa Mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2018 na wakimbiza Mwenge wenzako, tunawashukuru kwa kuwa sehemu ya jicho la tatu kwenye miradi inayotekelezwa ndani ya mkoa, niwahakikishie kwamba tutachukua stahiki pale ambapo palionesha ukakasi kwenye taarifa zetu na pale ambapo mliona kunahitajika hatua ili miradi iweze kufanya kazi kwa ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi tutachukua hatua”

Kwa upande wake Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018 Ndg. Charles Kabeho amewashukuru viongozi na wananchi wa Mkoa wa Simiyu kwa ushirikiano waliompa yeye na wakimbiza Mwenge wenzake walipokuwa Simiyu.

Aidha, Kabeho alitoa rai kwa watumishi wa Umma kuachana na kufanya kazi kwa uzembe na mazoea badala yake wafanye kazi kwa weledi na bidii, hususani katika usimamizi wa miradi ili iweze kutekelezwa kwa wakati katika viwango vya ubora unaotakiwa na wananchi wapate huduma kwa wakati.

Mwenge wa Uhuru umekabidhiwa katika kijiji cha Wishiteleja katika Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga ambapo ukiwa mkoani Simiyu ulipitia miradi 36 yenye thamani ya shilingi bilioni 8.4.

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa