• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Mwenge wa Uhuru Kupitia Miradi 34 Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 8.8 Simiyu

Posted on: May 22nd, 2019

Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 umeanza mbio zake Mei 22, 2019 Mkoani Simiyu ambapo unatarajia kupitia miradi 34 kutoka katika sekta binafsi, maji, elimu, afya, viwanda, kilimo, barabara, maendeleo ya jamii na hifadhi ya mazingira ambayo ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 8.8.

Akizungumza mara baada ya kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mwanza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema katika thamani hiyo ya miradi ambayo ni shilingi 8, 878,598,412.25 shilingi 904,170,725.00 ni nguvu za wananchi, Halmashauri shilingi 428, 403,532.63, Serikali Kuu ni shilingi 5, 992,582,072.37, wahisani shilingi 1,256,475,082.25 na sekta Binafsi shilingi 296,967,000.00

Akizungumzia Ujumbe wa Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 “MAJI NA HAKI YA KILA MTU TUTUNZE VYANZO VYAKE NA TUKUMBUKE KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA” Mtaka amesema, wastani wa upatikanaji maji Simiyu ni asilimia 50.4 ambao unahudumia wakazi 817, 968  na kubainisha kuwa Serikali inaendelea kuhamasiha wananchi kulinda vyanzo vya maji ili kuwezesha upatikanaji wa huduma hiyo.

Aidha, amesema Mkoa wa Simiyu umejipanga na unaendelea kuandaa mazingira mazuri ya amani na utulivu, yatakayowezesha wananchi kutumia haki yao ya kidemokrasia kushiriki kikamilifu katika mchakato mzima wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019.

Kwa upande wake Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019, Ndg. Mzee Mkongea Ali  amewataka viongozi wa mkoa wa Simiyu na wilaya zote mkoani humo kuhakikisha taarifa zote za miradi ya maendeleobitakayopitiwa na Mwenge wa uhuru ziwepo eneo la mradi na wataalam wote wanaohusika na miradi hiyo wawepo.

Baada ya kupokelewa Mkoani Simiyu Mwenge wa Uhuru umeanza mbio zake wilayani Maswa ambapo umepitia mradi wa urasimishaji wa makazi Malampaka, ukaguzi wa ujenzi wa barabara za lami Mjini Maswa, mradi wa maji Nyashimba, Kiwanda cha viazi lishe Njiapanda, vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja Kijiji cha Mwadila.

Aidha, Mwenge wa Uhuru ulitembelea na kuona shughuli za wajasiriamali na kutoa hundi za wajasiriamali, kuzindua klabu za kutokomeza rushwa na dawa za kulevya, kuzindua kampeni ya tokomeza malaria na kukagua shughuli za utoaji elimu ya kuhimiza upimaji wa VVU/UKIMWI.

Mwenge wa Uhuru takimbiza kwa mua wa siku sita mkoani Simiyu Mei 22 mpaka Mei 27, 2019 na Mei 28, 2019 utakabidhiwa mkoani Mara.

MWISHO

KUPATA PICHA ZAIDI KUHUSU MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU NA MBIO ZAKE WILAYANI MASWA FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:-https://simiyuregion.blogspot.com/2019/05/mwenge-wa-uhuru-kupitia-miradi-34-yenye.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa