• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Mrembo Diana Anthony Atangazwa Miss Simiyu 2019

Posted on: July 7th, 2019

Mrembo Diana Anthony kutoka wilaya ya Meatu jana ameibuka mshindi wa kwanza kwenye kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Simiyu mwaka 2019 lilioshirikisha jumla ya warembo 15 hivyo kupeperusha bendera ya ulimbwende mkoa wa Simiyu na kujinyakulia kitita cha shilingi milioni moja.

Shindano la kumtafuta mlimbwende yamefanyika Julai 6, 2019 katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, huku Mgeni rasmi akiwa naibu spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson yakisindikizwa na burudani ya kutoka kwa mwanamuziki anayetamba ndani na nje ya nchi Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz

Shindano hili limeamuliwa na Majaji wanne ambapo mionggoni mwao wamewahi kuwa Miss Tanzania katika nyakati mbaimbali  Saida Kessy (1997), Hoyce Temu aliyeshinda taji la miss Tanzania mwaka 1999, mtaalamu wa kuibua vipaji nchini Rita Paulsen maarufu madam Rita na Anitha Kagemulo.

Washindi wengine wanne wa shindano la Miss Simiyu 2019  wanaotengeneza tano bora ni   Rebeca Manoti, Miriam Palangyo, Neema Ismail na Angel Mathew.

 Akizungumza kabla ya kuwatangaza washindi watano wa Shindano la Miss Simiyu 2019, Jaji Mkuu wa Shindano hilo, Hoyce Temu (Miss Tanzania 1999) alisema warembo walioshiriki katika shindano hilo wanavigezo vyote vya kufikia Miss Tanzania.

“Kwa mara ya kwanza Simiyu imefanya maajabu sijawahi kuona warembo wa namna hii na kama hawatafika Miss Tanzania hawa basi mimi nidaiwe na majaji wenzangu” alisema Hoyce Temu.

Akikabidhi zawadi ya Miss Simiyu Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson aliwataka washiriki wote wa Taji la Miss Simiyu kufanya mambo mazuri ili wawe mfano mzuri wa kuigwa.

Aidha kampuni ya halotel Tanzania pia ilitoa zawadi kwa ya simu za mkononi kwa mshindi wa kwanza hadi wa tano .

Wadhamini wa mashindano hayo yaliyoandaliwa na Simiyu Talent Company kwa kushirikiana na Grace Entertainmen .ni Jambo Food products Company, Friedkin Conservation Fund, Busega Mazao, Halotel Tanzania na Diamond rock.

MWISHO

KUPATA PICHA ZAIDI FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:https://simiyuregion.blogspot.com/2019/07/mrembo-dayana-anthony-atangazwa-miss.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa