• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Hasunga Azitaka Taasisi za Fedha Kuwawezesha Wakulima, Kuongeza Mchango wa Kilimo kwenye Pato la Taifa

Posted on: August 5th, 2019

Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet Hasunga ametoa wito kwa Taasisi za Fedha kuhakikisha kuwa zinawafikia wakulima katika kuwezesha shughuli za kilimo ili kuongeza mchango wa kilimo katika pato la Taifa, upatikanaji wa chakula na ajira kwa Watanzania wengi, ambapo mpaka sasa takribani asilimia 65 hadi 75 wameajiriwa au kujiajiri kupitia kilimo.

Waziri Hasunga ameyasema hayo wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya Taasisi za fedha katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea, Kanda ya Ziwa Mashariki Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.

Amesema nchi inaweza kutoka hapa ilipo na ikasogea kwa haraka ikiwa kilimo kitawezeshwa ipasavyo kwa kuwa kilimo kikiwezeshwa kinaweza kuongeza mchango wake katika pato la Taifa.

“ Imani yangu ni kwamba nchi hii inaweza kutoka hapa ilipo kama tutakiwezesha kilimo kina uwezo wa kuongeza mchango wake kwenye pato la Taifa, upatikanaji wa fedha za kigeni, usalama wa chakula, kutoa ajira kwa watu wengi ambapo mpaka sasa hivi tuna karibu asilimia 65 hadi 75 wameajiriwa kwenye kilimo” alisema Mhe. Hasunga.

Ameongeza kuwa lengo la Serikali ni kufanya mabadiliko makubwa ya kuihamisha Sekta ya Kilimo kutoka kwenye kuwa sekta kujikumu na kuwa mhimili wa kweli wa ujenzi wa uchumi wa nchi na uchumi wa viwanda.

Aidha, amesema pamoja na kuwawezesha wakulima ni vema Taasisi za fedha zikatambua nafasi yake katika kuwawezesha mitaji wamiliki wa viwanda vinavyoongeza thamani mazao ya kilimo ili viweze kujengwa viwanda vya kuongeza thamani mazao mbalimbali.

Kwa upande wake  Meneja wa NMB Kanda Magharibi, Bw. Sospeter Magesse amesema Benki hiyo tayari inafanya kazi na wakulima na akamhakikishia Mhe. Waziri kuwa itajipanga kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha inawafikia na kuwawezesha wakulima wengi zaidi.

MWISHO

KUPATA PICHA ZAIDI FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:-https://simiyuregion.blogspot.com/2019/08/hasunga-azitaka-taasisi-za-fedha.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa