• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

"Bodi ya Pamba, AMCOS,SIMCU Wasaidieni Wakulima wa Pamba"- RC. Kafulila

Posted on: November 20th, 2021

Taasisi nyingi ambazo zimekuwa zikipata fedha kupitia ushuru wa Pamba, zimeshindwa kuwasadia wakulima na badala yake wanaonufaika ni viongozi kupitia fedha zinazotokana na Pamba ya wakulima.Hali hii imepelekea wakulima wengi nchini wakiwemo wanaozalisha Pamba, kuchukia ushirika licha ya kulazimishwa kupeleka mazao yao Amcos kwa ajili ya kuuzwa.

Mhe. Kafulila amesema hayo, wakati wa kikao na viongozi wa vikozi kazi vya zao la Pamba alipotembelea Tarafa ya Mwamapalala Wilaya ya Itilima. Mhe. Kafulila amesema Bodi ya Pamba, Vyama vya msingi vya Ushirika (Amcos), SIMCU ni vyombo ambavyo vinatakiwa kusimamia zao la Pamba na kuwasaidia wakulima ili waweze kuzalisha kwa tija.Vyombo hivyo vimekuwa vikikusanya ushuru unaotokana na zao la Pamba ambalo ni jasho la mkulima, lakini wameshindwa kuwasaidia wakulima.

“Kwa mkoa wa Simiyu, msimu uliopita Amcos walipata zaidi ya Bilioni 4, Chama kikuu cha ushirika (SIMCU) walipata zaidi ya Milioni 800, Bodi ya Pamba nayo ilipata fedha nyingi, lakini fedha hizo hazijarudi kwa wakulima kuwasaidia,”alisisitiza Kafulila.

Msingi wa kuanzishwa kwa vyombo hivyo,ulikuwa kukusanya ushuru na baada ya msimu kuisha kuwasaidia wakulima wakati wa maandalizi ya msimu mpya ili kuweza kuzalisha kwa tija.

“ Kama mkoa tumeanza kupambana na hii mifumo kwa kuifanyia marekebisho, tumeanza na hii ya mkulima kuwa mwanachama, tunataka kila mkulima awe mwanachama kwa sharti la kumiliki shamba la pamba,”amesema Kafulila.

Tumepeleka mapendekezo Wizara ya Kilimo, kubadilishwa kwa masharti ambapo mkulima kigezo cha kujiunga na Amcos kitakuwa shamba lake na siyo vigezo vingine vilivyopo kwa sasa ikiwemo pesa. Hali hii itafanya wakulima kuongezeka kwenye Amcos na maamuzi kufanywa na wengi, lakini pia kuweza kupata viongozi sahihi na siyo kama ilivyo sasa ambapo wanachama ni wachache na wanafanya maamuzi ya wakulima wote.

Hata hivyo Kafulila ameeleza kuwa mbali na hilo kama mkoa watapitia mifumo yote na kuhakikisha inabadilishwa ndani ya mkoa, ambao umejiwekea lengo la kuzalisha tani laki tano katika msimu ujao wa Pamba 2021/22..



Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa