• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Angelina Mabula:Halmashauri zitumie Wataalam wake Kupima Maeneo ili Kuwapunguzia Adha Wananchi

Posted on: January 4th, 2018

Deputy Minister of Lands and Human Settlement Development, Hon.Angelina Mabula has ordered Local Government Authorities in Simiyu Region to use their Experts in Surveying land, so that citizens can get access to copyright of their areas and reduce land conflicts.

Mhe.Mabula ameyasema hayo wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu iliyokuwa na lengo la kukagua jengo litakalotumika kama Ofisi ya Kanda ya Ardhi ya Simiyu na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyotoa wakati wa ziara yake mwezi Agosti mwaka jana Mjini Bariadi.

Amesema ikiwa kuna Halmashauri inahitaji kupima viwanja na mashamba na ina watumishi wachache katika Idara ya Ardhi ufanyike utaratibu wa kuomba watumishi kutoka katika halmashauri nyingine ili waweze kuungana na kuweka kambi katika Halmashauri husika wafanye kazi ya kuwahudumia wananchi wengi kwa wakati mmoja.

“ Hatuna wataalam wa kutosha kuweza kupima viwanja vingi kwa wakati mmoja katika Halmashauri, lakini tunao wataalam katika Mkoa husika ambao tulishasema kama kuna uhitaji wa kupima maeneo katika Halmashauri moja wataalam wote ndani ya mkoa wakusanywe waweke kambi hapo mpaka hiyo kazi iishe , wakimaliza wanahamia wilaya nyingine” alisisitiza Mabula.

Ameongeza kuwa Halmashauri yoyote itakapoona ina uhitaji wa watalaam kutoka Ofisi ya Kanda kwa ajili ya kuongeza nguvu katika zoezi la upimaji, Ofisi hiyo ipo tayari kufanya kazi na Halmashauri yoyote itakayoomba.

Aidha, amezitaka Halmashauri mkoani Simiyu kupima maeneo yote ya Mjini pamoja na maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa viwanda na uwekezaji.

Kwa upande wake Kaimu Kamishna wa Kanda ya Ardhi ya Simiyu, Ndg. Makwasa Biswalo ametoa wito kwa Watalaam mkoani humo kuona namna ya kutenga eneo la mipango miji katika eneo lililopitiwa na barabara ya lami ya kilomita 70 kutoka Bariadi mpaka Lamadi(kilomita kadhaa kwenye kila upande wa barabara) ambalo ni eneo zuri kwa ajili ya uwekezaji.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amesema ameshazungumza na Watendaji wa Halmashauri zinazopitiwa na barabara hiyo ya Bariadi-Lamadi(KM 70) kuwa, waone namna Halmashauri hizo zinavyoweza kumiliki maeneo hayo walau kilomita moja kushoto na kulia kwa barabara hiyo.

KUPATA PICHA ZAIDI KWA AJILI YA TUKIO HILI BOFYA HAPA:- https://simiyuregion.blogspot.com/2018/01/naibu-waziri-halmashauri-zitumie.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa