• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

RC Mtaka Akutana na Balozi wa China Hapa nchini, Aahidi Mengi kwa Mkoa wa Simiyu

Posted on: January 6th, 2018

Simiyu Regional Commissioner, Hon. Anthony Mtaka has met with Chinese Ambassador to Tanzania Hon. Wang Ke.

Balozi Wang amefurahishwa na utekelezaji wa Mpango wa Simiyu wa One Product One Distict-(Wilaya Moja Bidhaa Moja) Maana China kwa sasa wanatekeleza One Belt One Road.

Aidha, ametoa vyerehani 50 kwa Mabinti wa Simiyu ikiwa ni kuunga Mkono juhudi za viwanda vidogovidogo mkoani Simiyu.

Balozi huyo pia amekubali kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kujenga bweni moja la watoto wa kike na amesema yupo tayari kusaidia ujenzi wa Maktaba ndani ya mkoa

Wakati huo huo amesema atasaidia kompyuta kuunga mkono juhudi za Mkoa kwenye Maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(ICT) na kusaidia mkoa kupata jimbo rafiki nchini china pamoja na baadhi ya maafisa wa Simiyu kwenda China kupata uzoefu.

Vilevile ameuchagua Mkoa wa Simiyu kuwa mkoa wake wa Kipaumbele katika maeneo mengi ya miradi ya Kilimo,mifugo na uvuvi.

Matangazo

  • Orodha ya Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2020 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 07, 2019
  • Tangazo la Nafasi za kazi, Chama Kikuu cha Ushirika Simiyu (SIMCU) October 17, 2018
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha kwanza mwaka 2019 Simiyu December 18, 2018
  • Uhamisho wa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Januari-Machi, 2018 March 26, 2018
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wafungwa 136 Waachiwa Huru Simiyu Kufuatia Msamaha wa Rais, Waahidi kuwa Raia Wema

    December 10, 2019
  • Wanafunzi 18,306 Wachaguliwa Kidato cha Kwanza Mwaka 2019 Simiyu

    December 06, 2019
  • Viongozi wa Umma Watakiwa Kuepuka Mgongano wa Kimaslahi Katika Maamuzi Wanayofanya

    December 04, 2019
  • Serikali Yawafichua Watoto 16,000 Wenye Ulemavu Waliofichwa na Kuwaandikisha Shule

    December 03, 2019
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa