• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Mwenge wa Uhuru Wahitimisha Mbio zake Mkoani Simiyu Asilimia 97 ya Miradi Yakubaliwa

Posted on: May 28th, 2019

Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio zake leo Mkoani Simiyu na kukabidhiwa katika Mkoa wa Mara, ambapo miradi 33 kati 34 sawa na asilimia 97 ya miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri zote sita imekubaliwa na kuzinduliwa, kukaguliwa, kuonwa na kuwekewa mawe ya msingi.

Akitoa taarifa kabla ya kukabidhi Mwenge wa Uhuru mkoani Mara, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amesema ni mradi mmoja tu wa maji ambao umeonekana kuwa na kasoro ambapo amebainisha kuwa kasoro hizo zitafanyiwa kazi na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2019 atapata taarifa mapema iwezekanavyo ya namna zilivyofanyiwa kazi.

Naye Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2019, Ndg. Mzee Mkongea Ali amewapongeza viongozi na wananchi Mkoani Simiyu, huku akibainisha kuwa  tangu mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 zizinduliwe rasmi Mkoani Songwe, Simiyu ni mkoa wa Tisa lakini umeonekana kuwa mkoa nambari moja kwa namna ulivyolitekeleza jukumu hili.

Aidha, amesema yeye pamoja na wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa wengine katika kipindi cha siku sita walizokaa Simiyu wamebaini kuwepo kwa umoja, ushirikiano na kuheshimiana miongoni mwa wananchi, watumishi na viongozi mambo ambayo ni ya msingi katika maendeleo.

MWISHO

KUPATA PICHA ZAIDI FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:https://simiyuregion.blogspot.com/2019/05/mwenge-wa-uhuru-wamaliza-mbio-zake.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2020 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 07, 2019
  • Matokeo ya Kidato cha NNe mwaka 2018 January 24, 2019
  • Fungua

Habari Mpya

  • Kilo 145,000 za Choroko Zauzwa Mnada wa Kwanza Simiyu

    March 02, 2021
  • Mrajisi Atakiwa Kutoa Vibali kwa Wafanyabiashara Kusafirisha Choroko

    March 01, 2021
  • Choroko Zilizonunuliwa Nje ya Mfumo wa Stakabadhi Ghalani Zipelekwe Ghala Kuu: RAS Simiyu

    February 28, 2021
  • Kila Mtumishi Itilima Ashiriki Kikamilifu Ukusanyaji Wa Mapato: RAS Simiyu

    February 27, 2021
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa